Baada ya Harusi ya Mchekeshaji Masanja na Mkewe iliyofungwa Jumapili
iliyopita wawili hao wameonekana kwenye picha mbali mbali wakijivinjari
Honey Moon huku mavazi yao yakileta mabishano kama kweli ni Baba
Mchungaji na Mama Mchungaji....
Baadhi ya Comments kwenye picha hizo hizi Hapa:
"Wachungaji wa mwendo kasi.."
"Kwa jinsi walivyovaa Biblia Takatifu inatufundisha kuwa utaweza
kuwatambua kama ni nkweli wachungaji wa Kanisa la Mungu au watumishi wa
kitapeli. Hivi vitu havijifichi. Mtumishi wa Mungu haachi maswali na
hata akijifanya kwamba hamfahamu Mungu atajulikana tu kuwa ni mtumishi
wa Mungu. Kumbuka Petro alipojaribu kusema hamfahamu Yesu na akaanza
kuondoka ila waliokuwepo wakasema kuwa hata anavyotembea inadhihirisha
yeye ni mtu wa Kristo. Je kwa muonekano wa Masanja, yeye ni mtumishi wa
Mungu aliye hai????"
"Don't judge by looks....THE LORD GOD ALMIGHTY knows the hearts of everyone"
"Mavazi yanaonyesha uhalisia wa mtu. Kuna mavazi ambayo KAMWE mtu wa
Mungu hawezi kuyavaa au kumruhusu mtu anayemmiliki kuvaa. Ila
sijayaongelea mavazi aliyovaa Masanja"
"The Bible teaches us how to distinguish false from true prophets. Follow the Bible!!!"
"Dah!Mke wa masanja ana ugonjwa wangu kwa kweli"
Na wewe toa Maoni yako:
0 comments:
Post a Comment